Msanii Shilole
Shilole anasema wanaume ambao wanapenda kutunzwa na wanawake ni wanaume
sanamu, maana wanaume makini hawawezi kutegemea kulelewa na wanawake.
"Haya mambo hayatakiwi kuwepo, ndiyo maana unaona wanaume wengi saizi
hawataki kufanya kazi yaani mimi nikulipie hotel, nikununulie nguo,
sijui unataka nini mimi ninunue sasa wewe hapo utakuwa mwanaume au
sanamu la mwanaume" alisema Shilole
Mbali na hilo Shilole aligusia suala la wanaume ambao yeye hawezi kutoka
nao na kusema wanaume wazee yeye hawezi kutoka nao kimapenzi
"Sema dah kutembea na mzee inahitaji moyo kweli kweli, mimi kiukweli siwezi hili jambo" alisema Shilole
Post a Comment