Razia Mawanga Ofisa wa TMF akizungumza na Muungwana Blog kwenye maandalizi ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Tanzania, amesema kuwa TMF imkuwa mstari wa mbele kuwapa semina elekezi waandishi wa Habari wa Blog mbalimbali na Tv Online ili kuripoti masuala ya kijamii kwa uweledi wa taaluma ya uandishi wa Habari.
Amevitaka vyombo na waandishi wa habari vya Online Blog kuwasilisha mawazo yenye tija kwa umma ili wapate ruzuku kama vyombo vengine
Post a Comment