Afisa habari wa zamani wa Yanga ambaye nae alifungiwa mwaka mmoja Jerry Muro ametumia ukurasa wake wa instagram kuandika “Mtuache
sasa tupumzike, tuliyofanya kwa taifa hilo haswa kwenye mpira nadhani
yametosha, Waswahiba karibu kijiweni @hajismanara“
Mkuu
wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba Haji Manara amefungiwa mwaka
mmoja kujihusisha na soka pamoja na faini ya Tsh Milioni 9.
Kamati
ya nidhamu ya TFF imetoa adhabu hiyo licha ya Haji Manara kushindwa
kufika kwa madai ya kupata dharura lakini anayo nafasi ya kukata rufaa.
Post a Comment