“Watu
wengi wanaamini nimeisaidia sana CCM lakini ukweli ni kuwa CCM
imenisaidia sana mimi kuliko mimi nilivyoisaidia, CCM ni SHULE.
“Bahati
niliyopata kwa kuwa muenezi CCM ni kufanya kazi na ndg Kinana ni mwema,
mzalendo, hodari, uwezo mkubwa, upendo na maarifa mengi” Ameandika Nape
Post a Comment