Baada ya Yanga kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka
Tanzania (TFF), inayojulikana kama Azam Sports Federation Cup (ASFC)
kufuatia kipigo cha 1-0 kutoka kwa Mbao FC katika mchezo wa Nusu Fainali
jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Basi Haji Manara wa Simba
ameposti ujumbe huu
Post a Comment