Mamlaka zimesema,Usiku wa alhamisi Walinzi hao walizibaini meli mbili hizo zikiwa zinapeperusha benderza za Ukraine na Congo,takribani kilometa mbili kutoka mji wa Sidi Said karibu na mji wa Zuwara,Magharibi ya pwani ya mji Mkuu Tripoli.
Mkuu wa kikosi hicho,Jenerali Ayoub Qassem,amesema,mapambano baina ya vikosi vyake na watu wenye silaha aina ya Kalashnikovs,waliokuwa kwenye maboti kadhaa yalichukua saa tatu kabla ya kudhibiti hali ya mambo.
Post a Comment