Kabla ya uwanja wa Jamhuri-Dodoma haujatajwa kuwa ndio utatumika kwa ajili ya fainali ya FA Cup, kulikua na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii ambapo wadau wa soka nchini walikuwa wakijadili tweet ya Rais wa TFF kwamba kutakuwa na droo ya kutafuta uwanja utakaotukika kwa ajili ya fainali hiyo.
FAINALI YA SIMBA NA MBAO FC KUCHEZEWA MKOANI DODOMA
Kabla ya uwanja wa Jamhuri-Dodoma haujatajwa kuwa ndio utatumika kwa ajili ya fainali ya FA Cup, kulikua na mijadala mingi kwenye mitandao ya kijamii ambapo wadau wa soka nchini walikuwa wakijadili tweet ya Rais wa TFF kwamba kutakuwa na droo ya kutafuta uwanja utakaotukika kwa ajili ya fainali hiyo.
Post a Comment